Tuesday, May 15, 2012

RANDOM PICTURES OF MY SISTER IN LAW AND BROTHER.. LOVE EM' XOXO

                                                                   baba na mama
                                                                


         Loving those shoes my wi.. Lol you guys look like you're all ready to party lmao



                                                 S-T-U-N-N-I-N-G
                       Lol uko juu.. Loving the louis vutton bag... Work it girl..
                                 Omg I love your purse.. Looking so professional.. I love it
                                                                Beautiful my wii..
I love everything... Flawless

                                               Like father like daughter.. So cute... Lol love u both

25 comments:

  1. tege ,alafu usichomekee wewe unaminyama unaonekana juu mkubwa ,, ni kuweleweshana tu

    ReplyDelete
    Replies
    1. watu mnamaneno eti sakanyoka mpeni pumzi mwenzenu anajikakamua nae aonekane mwamkatisha tamaa khaa

      Delete
  2. mbona balaaa kwenye hizo pic zingine umevaa nini sakanyoka au kitu gani sikupati vizuri hapo chin

    ReplyDelete
  3. nice couple wamependezeana mashaklah

    ReplyDelete
  4. jamani tuacheni wivu mwenye sifa yake mpeni dada wawatu kapendeza tena yupo simple sana na amependeza. MAMA WA DUBAI

    ReplyDelete
  5. Mikono myeusi. Na mashavu ya kijapani.usicheke sana.

    ReplyDelete
  6. Hahahaha ma Wii wanifurahisha unapenda kunikoseshea shoga zangu usingizi hahaha kwaraha zako Mama nirushe wifiyo mwenye wivu ameze chupa ya cola

    ReplyDelete
  7. Wivu utawaua jamani mwaka huu!!!Umepndeza sana mdada upo juu sana(Mama 007 Stockhm).

    ReplyDelete
  8. Kimbiza haoooo watu wawili miamor unawauwaje,nakupendea hapo tu maana hayo mashetani hayapendwi kila sehemu.mimi penda sana wewe na bfriend wako kambiza washamba hao wamekuja ulaya kimakosa

    ReplyDelete
  9. Duh Hawa watu kiboko kwa wavu,kwenye picha za Recho wamesema miguu meusi,humu mikono meusi duh mtakufaje mwaka huuu?miamor charaza fimbo za matako hao,upo juu mbaya hawakuwezi hata wazikiri uc*i,wanamiaka mingi ulaya lakini umewafunika mbayaaa watakuuwa wenzio maana maneno wataona hayatoshi Sasa wataingia kwenye vitengo jiwe hilo tiiiiiiiii

    ReplyDelete
    Replies
    1. ujishebedue kumwandika recho alafu usingizie wenzako wewe umemjuaje alieandika kama sio wewe mfinyuuuuu,humu kunachoko choko marafiki zako wanakunanga alafu unahisi wengine kazi kweli kweli wera wera mwenye mali kabeba mzigo umebaki kulamba makombo kaa paka

      Delete
  10. Mmependeza sana lovely couple

    ReplyDelete
  11. Mhh jamani kunawatu wanawivu sana hapa duniani,dada mzuri na mpenzi wake mzuri,mmependeza sana

    ReplyDelete
  12. Wivu si mzuri kwa afya zenu nyie tena esp kipindi hiki !!!! Hii inaonesha dhahiri kuwa hadi miaka 65 mtawapa stori wajukuu

    ReplyDelete
  13. jamani tuache wivu @kumekucha kapendeza sana tu mungu awajalie ila picha namb2amevaa gauni la silver .nyama zimejitokeza sana ushauri tu.tusijinange na vazi la kubana wakati manyama yananinginia kama ivyo aipendezi tumpe ushauri wa comment sio majungu ..jitaidi kutoa mnyama pia nguo ndefu unapendeza sana na suruali zisizobana sana mna shepu yako unaijua.sasa usichekeshe walimwengu vaa kutokana na figa yako bibi wala humkimbizi mtu .ushauri tu .

    ReplyDelete
  14. UNAPENDEZA SANA ILA JITAIDI MAVAZI YAENDANE NA MWILI WAKO .NGUO FUPI AUPENDEZI SANA .UNAPENDEZA NGUO NDEFU .KUTOKANA UMBO LAKO JUU MKUBWA SANA SO .JIANGALIE JIKUBALI SHEPU YAKO THEN VAA USHAURI TU.SURUALI ZISIWE ZA KUBANA SANA ZINAKUCHORA UMBO LAKO .SASNGOMA KALI UKICHOMEKEA MMMM BALAAA BEST ZAKO HAWAKWAMBIAGI HAWAKUPENDI BORA TUKWAMBIE UJIJUE .UKIKUBALI HAYA UKIKATAA HAYA .BUT UNAJICHORESHA SANA NA MAVAZI HAYAENDANI NA MWILI WAKO ..ILA USO UNAJUA KUJIPAMBA HAPO ASILIMIA MIA.FATILIA HAYO MAPOZI PIA USIJIKAKAMUE SANA KAMA UNATAKA KUNYA RELUX .MNA UNAPENDA PICHA NA PICHA IKUZOEE.OK

    ReplyDelete
  15. mwacheni mwenzenu yani hapo umwambii kitu anajiona kim kardishian hahah kazii kweli kweli

    ReplyDelete
  16. Hahaha ilimradi ERIC anasema nimependeza basiiii nimerizika haha sinarafiki wakunishauri kwakweli mshauri wangu ni kipenzi wangu OGUTUS basiiiiiii na asante kwakunikubali kimya kimya,yaani mnanifanya nijione RIHANA yaani star wenu maana bakola za matako zinawafikia kimya kimya.last Word ERIC ndiyo mshauri wamavanzi,simvalii mtu mwengine namvalia yeye Sasa kama yeye anapenda niwasikilize nyinyi Kina nani????nisaidieni wananchi.roho mbaya haijengi!!!!!

    ReplyDelete
  17. watu mnapenda mashindano kwanini msishindanie maendeleo kama shule,kufanya kazi ,maisha bora kuliko kubishania nguo ,viatu sijui handbag kuweni na akili nyie wenzenu wanawaza maisha nyie mnawaza ujinga mtafunguka vipi kiakili nguo zenye sio za mana yani upuuzi mtupu badilikeni wanawake wa wakitanzania.mwanikera basi tu ushawahi sikia mtu anaitwa mama mwenye nguo zaidi ya kusikia mama mwenye nyumba!!!!!sasa hayo ndio majivuno ya maendeleo

    ReplyDelete
  18. Umependeza Miamor!

    ReplyDelete
  19. Me love the couple

    ReplyDelete
  20. mama miamorr mumependea sanaaaaa xx

    ReplyDelete
  21. mmependeza mwaya na wenye wivu na wajinyonge

    ReplyDelete
  22. Well said My MIAMOUR! Lips Burger hao hawana jipya yakwao yanawashind kudundwa mingumi kila siku majumbani mwao.Roho inawauma kukuona na Erick.Nabado hiki ni kitabu tu maneno mwakani.Stay blessed as ur.URS TOTO C

    ReplyDelete